Wanawake wa Tanzania
mliopo Facebook naomba mjitahidi
Picha mnazoweka kwenye profile iendane na muonekano wako halisi

Hii ni mara ya Sita sasa Napoteza nauli yangu tu
Naomba mzingatie tafadhalini sana
mliopo Facebook naomba mjitahidi Picha mnazoweka kwenye profile iendane na muonekano wako halisi


Hii ni mara ya Sita sasa Napoteza nauli yangu tu
Naomba mzingatie tafadhalini sana
No comments:
Post a Comment